"NO RETREAT, NO SURRENDER" MH. LUCAS SELELII (MB NZEGA)

Mbunge wa Nzega Mh. Lucas Selelii akisisitiza jambo wakati alipoongea na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo kuzungumzia juu ya anaodai kuwa mafisadi wenye lengo la kumchafua kutokana na mapambano yake dhidi ya watu ambao amedai ni warafi wanaokula bila kusaza pia mbunge huyo ametoa siku saba kwa Gazeti la kila siku la Mwananchi kumuomba ladhi kutokana na habari ambazo zimedaiwa na mbunge huyo kuwa zilichapishwa katika gazeti hilo zikidai amejihusisha na kuingiza mambo ya udini katika moja ya mikutano yake aliyowahi kufanya jimboni kwake hivi karibuni Mh. Selelii ametangaza kuendelea na mapambano dhidi ya mafisadi mpaka kieleweke, kushoto ni Bw. Tiganya afisa kutoka Maelezo .

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment