TANDALE KWA MTOGOLE NI TAABU TU MVUA IKINYESHA!!


Hii ndiyo hali halisi ya Tandale kwa mtogole jijini Dar es alaam mara mvua inaponyesha mitaa haipitiki kutokana na tope kujaa barabarani hali ambayo inapelekea hata waendesha baiskeli na maguta kupata shida sana wakati wa kupita maeneo hayo kama huyu kijana ambaye alikutwa na Camera ya FULLSHANGWE akihangaika na Guta lake.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment