WANAMUZIKI WA B. BAND NA POZI ZAO!!

Banana Zoro kijana matata sana katika muziki wa bongo fleva na ambaye amejijengea heshima kubwa kwa kumiliki bendi yake mwenyewe hiyo ni hatua kubwa jamani naye pia ana pozi zake anapokuwa anaimba jukwaani hebu icheki hii unaionaje mdau.
Ismail wa Bendi ya B. Band inayomilikiwa na Banana Zoro yeye anapenda kupozi hivi kwenye picha unaionaje hiyo mdau wa shangwe.


You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment