MSHINDI WA MARCEDES BENZ YA GLOBAL PUBLISHERS APATIKANA!!

Naibu Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo Mh. Joel Bendera akisoma jina la mshindi wa bahati nasibu iliyoendesha na kampuni ya Globar Publishers ianyochapisha magazeti ya ijumaa, Champion, Amani na Risasi kulia kwake ni meneja mkuu wa kampuni hiyo Abdalla Mrisho.
Gari aina ya Marcedes Benz ambayo tayari imenyakuliwa na mshindi kutoka Dar es alaam Bw. Komanya Hosea.

Naibu Waziri wa habari, Utamaduni na michezo Mh. Joel Bendera akichagua na kusoma kuponi ya mshindi wa Mercedes benzi katika droo iliyofanyika viwanja vya biafra Kinondoni Jumatatu iliyopita. Droo iliendeshwa na Global publishers kupitia magazeti yake ya Uwazi, Ijumaa,Championi, Risasi na amani. Mkazi wa gerezani Dar es salaam, KomanyaHoseah aliibuka mshindi.


You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment