Ujenzi wa mradi wa umeme wa Somanga Fungu- Lindi Waendelea!!


Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mh. Adamu Malima akipata maelezo kuhusu maendeleo ya mradi wa Umeme wa Somanga Fungu kutoka kwa mmoja wa wakandarasi wa mradi huo Bw.Edwin Nyakarashi alipotembelea eneo la mradi huo Kilwa kusini. (picha na Aron Msigwa)

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment