USAFIRI WA AZAM FC CLUB, WAKO JUU HAWA!!


Azam Fc Club wanasema wameipania ligi kuu mzunguko wa pili itakayoanza januari mwaka ujao lakini si hivyo tu pia wamejizatiti kwa mambo mengi hebu ucheki usafiri wao ulivyo mkali ni hili ni basi dogo kuna lingine kubwa zaidi ya hili jamani mpira ni pesa na mipango sio maneno tu.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment