WAISLAMU WAANDAMANA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA!!

hapa wakionekana watoto kwa wakubwa katika maandamano hayo yaliyofanyika leo jijini.

Waumini mbalimbali wa Dini ya kiislamu wakiandamana katika barabara ya Bagamoyo maeneo ya Salender Bridge kuelekea barabara ya umoja wamatifa katika kuukaribisha mwaka mpya wakiislamu leo jijini.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment