EMMANUEL NA HAPPNESS WAMEREMETA!!

Emmanuel na Mke wake Happness wakimeremeta katika sherehe yao iliyofanyika kwenye ukumbi wa Ngorongoro Hall uliopo kwenye viwanja vya maonyesho vya mwalimu Julius K. Nyerere barabara ya Kirwa mara baada kufunga pingu za maisha kwenye kanisa la KKKT Usharika wa Temeke Wailesi jumamosi iliyopita jijini.
Ngoja tucheze kidogo muziki jamani!!

Pozi la kuanza maisha mapya katika ndoa kama wanavyoonekana Emnanuel na mke wake Happness.

Wakati wa kupata mapoichopocho.

Dada Zake na Immanuel katika picha ya Pamoja kulia ni Jaqulin kati Annet Mdamu na Rafiki yao.

Hapa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wenzie.

Hapa afanya kazi wenzie na Emmanuel kutoka kampuni ya mafuta MOGAS wakimpongeza katika sherehe iliyofanyika kwenye ukumbi wa Ngorongoro Hall ulioko kwenye viwanja vya maonyesho vya mwalimu Julius K. Nyerere Barabara ya Kirwa.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment