Mh. Adam Malima aongea na waandishi wa habari kuhusu kupanda kwa bei ya mafuta!!


Naibu Waziri wa Wizara ya Nishati na Madini Adam Malima akiongea na waandishi wa habari kuhusu hali ya upatikanaji wa mafuta na kupanda kwa bei nchini leo katika ukumbi wa mikutano wa wizara hiyo.
Picha na Anna Nkinda - Maelezo

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment