FARII IPUPA ANASWA NA VIMWANA WA BONGO, AWA MPOLE KAMA KONDOO!!

Hapa Farii Ipupa akiwa jukwaani akikonga nyoyo za mashabiki wake waliojitokeza kwa wingi kushuhudia onyesho lake lakini akaishia mikononi mwa vimwana wa bongo pata matukio katika picha mbalimbali akiwa na vimwana hao


Hapa Joan kulia na Mboni wakiwa katika Picha ya Pamoja kwenye onyesho la mwanamuzik Farii Ipupa pale New Word Cinema Mwenge jijini juzi mwanamuziki huyo alifanya mambo makubwa katika onyesho hilo.

Joan na Farii Ipupa wakiwa wamepozi katika picha ya pamoja kwenye hoteli ya Movenpick.


Farii Ipupa akiwa katikati ya vimwana Joan kushoto na Mboni Hoteli ya Movenpick ambako mwanamuziki huyo alikofikia.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment