Kunduchi Beach Wet an' Wild ni raha tu Weekend, nao Tanzanite wachizisha!!

Mwanamuziki John Mhina wa Tanzanite Band akiongoza wanamuziki wenzie katika kutoa burudani kwa watu mbalimbali walioenda katika ufukwe wa Kunduchi Beach Wet an' Wild ili kujipumzisha na familia zao mwishoni mwa wiki.
Watu wakiselebuka na muziki wa Bendi ya Tanzanite inayoongozwa na mwanamuziki John Mhina huku mabomba maalum yakiwamwagia maji hii ni moja ya burudani iliyoko kwenye ufukwe huo


Watu mbalimbali wakiogelea katika mabwawa ya kuogelea kwenye ufukwe wa kunduchi Beach Wet an'wild hii imekuwa ni sehemu muhimu kwa familia na watu mbalimbali kwenda kupumzika mwishoni mwa wiki.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment