MIRIAM ODEMBA APONGEZWA KWA KUSHINDA MISS EARTH!!!

Mkurugenzi wa kampuni ya Compas Communication Bi. Maria Sarungi akiwa na Miss Earth Miriam Odemba wakati alipokuwa akiongea mbele ya wageni waalikwa katika hafla ya kumpongeza iliyoandaliwa na kampuni hiyo mara baada ya mrembo huyo kurejea nyumbani hafla hiyo ilifanyika katika hoteli ya New Africa jijini jana, Miriam alishinda taji hilo la dunia katika shindano lililofanyika jijini Manilla nchini Philipins hivi karibuni

Miriam Odemba akifurahia jambo na kutosi champagne na Pr. Filemon Sarungi kulia katika hafla ya kumpongeza iliyoanadaliwa na kampuni ya Compas Communication inayomsimamia katika ni mmoja wa wageni walioalikwa katika hafla hiyo iliyofanyika katika Hotel ya New Africa jana

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment