HONGERA MDOGO WANGU IRENE!!

Nelson Kinyaha akimpongeza mdogo wake Irene Kinyaha mara baada ya kupata kipaimara katika kanisa la KKKT Mbezi Beach na kufuatiwa na tafrija iliyofanyika katika ukumbi wa Makete ulioko hukohuko Mbezi Beach.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment