TIMU YA MAALBINO YAPANIA KUWASAMBARATISHA WABUNGE KABLA YA MPAMBANO WA WATANI WA JADI!!

Mpambano utakaofanyika kabla ya mechi ya watani wa jadi Simba na Yanga katika uwanja mkuu wa Taifa kati ya timu ya Maalbino na Wabunge wa Jmhuri ya muungano wa Tanzania nao umezidi kuwa mkali baada ya kampuni ya (Sumsung) chini ya Freedom Electronics kumwaga vifaa mbalimbali kwa ajili ya mchezo huo wapenzi na mshabiki wa mpira wa miguu kaeni mkao wa kufurahi kutokana na jinsi timu ya Maalbino ilivyopania kuisambaratisha timu ya waheshimiwa Wabunge, kutoka kushoto ni Sefu Urati mwenyekiti wa chama cha maalbino Ilala, Mhamed Chenzi mwenyekiti mkoa, Oscar na David Joseph kutoka kampuni ya Freedom Electronics


Homa ya watani wa jadi yazidi kupanda lakini nayo maandalizi ya mpambano wa timu ya Maalbino na wabunge wazidi kuwa mkali.


You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment