ODEMBA ATABIRIWA KUFANYA VYEMA MISS EARTH 2008!!

Tovuti kubwa na maarufu inayoshughulika na masuala ya urembo ya Global ya Beauties imeonyesha utabiri kuwa katika mashindano hayo ya Miss Earth 2008 yanayofanyika jijini Mannila ncini Philipines ambayo jumla ya warembo 90 watashiriki inaonyesha katika utabiri huo kuwa mrembo wa Tanzania Miriam Odemba anaweza kufanya vyema kutokana na nafasi aliyowekwa lakini pia Afrika inaweza kufanya vyema kutokana na warembo wengine kutoka Botswana na Sudan ya kusini kwa habari zaidi tembelea http://www.globalbeauties.com

/earth/2008/e08_tree.htm).

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment