SHINDANO LA RAFDA LAFANA KILIMANJARO KEMPISKI!!

Hatimaye mshindi Saidi Tambwe alipatikana jana 24/10/2008 ambaye ni mbunifu kutoka mkoani Mwanza ilikuwa nguo ya ajabu kwangu nimeshuhudia wabunifu wengi wakibuni mavazi lakini hili la Saidi Tambwe kweli amejitahidi na nafikiri anaweza kuwa mwakilishi mzuri kwa nchi yetu katika mashindano ya Afrika yatakayofanyika nchini Botswana hapo baadae

mwaka huu
Burudani za ngoma za asili pia zilikonga nyoyo za watazamaji.




Mamodo walipita jukwaani na nguo za wabunifu mbalimbali na kila mbunifu alijitahidi kuonyesha nguo nzuri ili nguo yake iweze kushinda.

Hiki kilikuwa kivazi matata na cha kuvutia kilitia fora

Warembo wengi walijitokeza kwakweli lilikuwa ni shindano matata sana na Redds wanastahili kupongezwa kwa maandalizi mazuri katika shindano hilo

Banana Zoro kushoto na baba yake mzee Zahir Ally Zoro katikati na Siz Q kutoka B. Band walikuwepo katika kuburudisha wageni mbalimbali na wapenzi mambo ya mitindo

Meneja wa kinywaji Cha Redds ambao ndiyo wandaaji wakuu wa RAFDA Bw. George Kavishe akizungumza na Irene Kiwia katika kuweka mambo sawa kabla ya kuanza kwa shindano hilo.

Hatuwezi kuikosa Rafda!!

Agrey Mareale mkurugenzi wa Executive Solution Prashant Patel, Ramesh Shah Richa Adhia na Mrs Agrey Mareale

Abby akihojiana na Max kushoto na Willy

Kamati ya Miss Tanzania ilikuwepo pia kutoka kulia ni Afisa uhusiano wa kamati hiyo Rico, Ramesh Shah jaji mkuu, mkuu wa itifaki Arbert Makoye, Miss Tanzania 2007Richa Adhia Mwenyekiti wa kamati hiyo Prashant Patel na jackson Kalikumtima Mkurugenzi Hashim Lundenga anachungulia kwa mbali nyuma.

Wabunifu wa mavazi kutoka kulia niFatma Amour,Asia Idalus na Farha wa Fnaaz Designer.

Meneja masoko wa Zain Kelvin Twisa kutoka kushoto Khadija Mwanamboka Irene Kiwia na mbunifu wa mavazi kutoka Zanzibar Farouque Abdela wakizungumza.

Mwanamuziki Jaquiline Ntuyabaliwe kushoto Abby wa Chanel 5 na Sophia Byanaku

Hawa nao hawakutaka kukosa fainali hizo.

















You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment