WAGOMBEA UBUNGE WA CUF (W) ILALA WAJITAMBULISHA!!

Mgombea Ubunge kupitia Chama Cha Wannanchi CUF Hussein Siyoverwa akizungumza mbele ya wanahabari leo kwenye ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo wakati wagombvea hao kutoka Majimbo ya Ilala, Segerea na Ukonga walipojitambulisha mbele ya wanahabari, wanaofuatia katika picha ni Kimangala Ayubu Mussa na Gulam Nasoro Mkurugenzi wa Uenezi, Mahusiano ya Umma CUF Wilaya ya Ilala.
Wagombea wa ubunge katika majimbo ya Ilala, Segerea na Ukonga kupitia Chama Cha Wananchi CUF wakionyesha fomu zao mbele ya waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo leo mara baada ya kukabidhiwa na Mkurugenzi wa Wialaya ya Ilala leo, kutoka kulia ni Heko Pori Ukonga,Husein Siyoverwa Ilala na Kimangala Ayubu Musa Segerea.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment