MAOFISA HABARI WAKUTANA LEO JIJINI DAR.

Mkurugenzi wa Idara ya Habari(MAELEZO) Clement Mshana akiongea na Maofisa Habari, Elimu na Mawasiliano wa Wizara,Idara zinazojitegemea na wakala wa serikali leo jijini Dar es salaam.Pamoja na mambo mengine amewatoa wito kwa Maofisa hao kushiriki kikamilifu kutoa habari zinazohusu utendaji wa serikali kwa wananchi.
Maafisa habari wakiwa katika mkutano huo.
Baadhi ya Maofisa habari ,Elimu na Mawasiliano wa Wizara,Idara zinazojitegemea na wakala wa serikali wakifuatilia masuala mbalimbali leo jijini Dar es salaam wakati Mkurugenzi wa Idar ya Habari (MELEZO)Bw. Clement Mshana alipokutana nao. Picha na Aron Msigwa.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment