SIKU NILIPOKUTANA NA MKURUGENZI WA MASHITAKA ELIEZER FELESH!!

Siku nilipokutana na Mkurugenzi wa Mashitaka wa Serikali nchini (DPP) Eliezer Felesh katika mkutano wa wanasheria wa Africa na Asia uliokuwa ukifanyika kwenye Hoteli ya Kilimanjaro Kempinski hivi karibuni hapa nchini na kujadili mambo mbalimbali ya kisheria,tuliongea na kubadilishana mawazo mbalimbali na Mh Felesh na nilifurahi kukutana na mtu mkarimu kama huyu.
Mwandishi wa habari mwandamizi wa Mwananchi Mkinga Mkinga akizungumza na Mwanasheria mkuu wa Serikali Jaji Fredrick Werema katika mkutano huo huku wanahabari wakiwaangalia na kusikiliza kwa makini.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment