WAISLAM WAANDAMANA WAKIDAI KADHI ATAMBULIWE KIKATIBA!!

Waislamu wakiandamana na Bango lenye ujumbe unaosomeka Tunataka Kadhi anayetambulika Kikatiba na si BAKWATA na CCM Kadhi lazima hata kwa Jihad" maandamano hayo yameanzia katika viwanja vya Mnazi Mmoja na kuishia maeneo ya Manzese jijini Dar es salaam.

Waislamu wakifanaya maandamano katika barabara ya Morogoro wakidai mahakama ya Kadhi.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment