RAIS JAKAYA NA ASKOFU WA KKKT MOROGORO NA WAZEE WALIOPIGANA VITA MKUU YA PILI YA DUNIA!!

Rais Jakaya Kikwete Akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wazee waliopingana vita vikuu vya pili vya Dunia. Rais Kikwete aliwaalika wazee hao Ikulu jijini Dar es salaam na kufanya mazungumzo nao, Wa kwanza kushoto ni Katibu mkuu wa wizara ulinzi na jeshi la kujenga Taifa Bw, Andrew Nyumao wa tatu kushoto ni kaimu mkuu wa mkoa Dar es salaam Mh,Said Meck Sadick Ikulu 30.7.2010 PICHA NA JUMA KENGELE
Mkazi wa Sokoine Morogoro. Justine Shamba Kubwa akipongezwa na Rais Jakaya Kikwete Baada ya kuchangia shilingi Laki Mbili taslimu (200,000) wakati wa Harmbee ya Ujenzi wa shule ya sekondari ya Ebenezeri Lutheran Junior Seminary High school iliyopo Morogoro. Kulia ni Askofu Jacob Mameo Ole Paulo wa Dayosisi ya KKKT ya Morogoro aliyesima kulia kwa Rais ni Mkuu wa Mkoa Morogoro Kanali mstaafu Issa Machibya

Rais Jakaya Kikwete Akipokea Zawadi ya Kinyago kutoka kwa Askofu Jacob Mameo Ole Paulo wa KKKT Dayosisi ya Morogoro wakati wa Harambee ya kuchangia Ujenzi wa Sekondari ya Ebenezeri Lutheran Junior Seminary High School ya Morogoro

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment