Mwisho Mwampamaba akiingia ndani ya nyumbaa BBA na staili ya kufuga ndevu kwa chati...huku akisema kuwa siku hizi amekuwa bush man, mtu wa kijijini....! kutrokana na muwezo wam Mwisho Mwampamba kuvaa uhusika ni imani yetu kwamba anaweza kufika mbali katika shindano la BBA Stars mwaka huu tunamtakia kila mafanikio katika shindano hilo, Picha kwa hisani ya mtandao wa GPL .COM.
Meneja Mkuu wa MultiChoice Tanzania, Peter Fauel (kulia) akifungua rasmi uangaliaji wa BBA All STARS. katikati ni Meneja huduma wa multiChoice Ronald Shelukindo na kushoto ni Meneja Uhusiano wao, Ms. Barbra Kambongi.







0 comments:
Post a Comment