Mtalaam Mshauri fani ya umilikaji Ardhi na Uthamini mali (Land Management and valuation Consultant ) Bwana Joseph Didas Kessy wa kwanza ( kushoto ) akitangaza nia ya kugombea jimbo la Segerea kwa tiketi ya Chama Cha mapinduzi (CCM ) mbele ya Waandishi wa Habari ambao hawapo kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari (Maelezo) leo jijini Dar es Salaam , na Kulia ni Bwana Lucas Shirima ambaye ni ndugu yake aliyemsindikiza.
(Picha na Anna Itenda wa Maelezo.)
MWINGINE AJITOSA KUGOMBEA UBUNGE SEGEREA!!
Posted by
ADMIN
You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)





0 comments:
Post a Comment