Alexander Marwa na mke wake Mbumi Mwakalinga wakiwa na nyuso za furaha baada ya kufunga ndoa yao hivi karibuni katika Kanisa la Mt.Petro Oysterbay na kufuatiwa sherehe kubwa iliyofanyika katika ukumbi wa Banora karibu na Mlimani City jijini Dar es Salaam.
MAHARUSI HAWA WALIMEREMETA VYAKUTOSHA!!
Posted by
ADMIN
You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)





0 comments:
Post a Comment