JANUARI MAKAMBA ALIVYOLAKIWA NA WANA BUMBULI!!

Januari Makamba akilakiwa kwa shangwe na wana Bumbuli mkoani Tanga jana wakati alipochukua fomu za kuwania ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi jimboni humo mamia ya wana CCM jana walijitokeza kuchuyka fomu zakugombea ubunge na udiwani katika uchaguzi mkuu ujao unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.

Januari Makamba akimsalimia mtoto aliyekuwa akipiga ngoma wakati wa shamrashamra za kuchuka fomu jimboni Bumbuli mkoani Tanga.

Wana CCM wakimsindikiza Bw. Januari Mkamba kwenda kuchukua fomu zake za kuwania ubunge wa jimbo la Bumbuli.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment