Januari Makamba akilakiwa kwa shangwe na wana Bumbuli mkoani Tanga jana wakati alipochukua fomu za kuwania ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi jimboni humo mamia ya wana CCM jana walijitokeza kuchuyka fomu zakugombea ubunge na udiwani katika uchaguzi mkuu ujao unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.
JANUARI MAKAMBA ALIVYOLAKIWA NA WANA BUMBULI!!
Posted by
ADMIN
You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)







0 comments:
Post a Comment