ASHA ROSE MIGIRO ATEMBELEA TUME YA HAKI ZA BINADAMU.

Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) Asha Rose Migiro (kulia) na kushoto ni Kamishina Mstaafu wa Haki za Binadamu Mhe. Jaji Amir Manento akizungumza na Viongozi mbalimbali wa Haki za binadamu na Waandishi wa Habari ,ambao hawapo kwenye picha alipotembelea Tume hiyo mjini Dar es Salaam leo.
(PICHA NA ANNA ITENDA -MAELEZO)

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment