ZITTO KABWE ACHUKUA FOMU ZA UBUNGE KWAO!!

Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mh. Zitto Kabwe alishanagaza wengi pale alipochukua fomu za kugombea ubunge kupitia jimbo hilo ambalo kwa sasa ndiye anayeliongoza Zitto alichukua fomu hizo katika Mkutano wa hadhara jana uliofanyika kijijini Mwandiga Kigoma Vijijini kisha Mh. Zito Kabwe CHADEMA akahutubia wakazi wa kijiji hicho.
Kwa kitendo cha Zitto Kabwe kuchukua fomu za kugombea ubunge katika jimbo lake kunazika minog'ono yote iliyokuwa ikisikika kuwa pengine angegombea kupitia kupitia jimbo lolote jijini Dar es salaam.
Picha zote na Mpiga picha wetu.
Wakazi wa kijiji cha Mwandiga Kigoma vijijini wakimsikiliza Mbunge wa Kigoma Kaskazini jana katika mkutano wa hadhara ambapo Zito alichukua fomu za kugombea ubunge katika jimbo hilo.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment