PICHA na Tiganya Vincent-MAELEZO
Viongozi waandamizi wa Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo wakimsikiliza kwa makini Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Seth Kamuhanda akifungua mafunzo kwa Maafisa wa Wizara hiyo jana jijini Dar es salaam juu ya utawala bora.
Baadhi ya Maafisa wa Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo wakishiriki mafunzo ya utawala bora yanayofanyika jijini Dar es salaam.
WAFANYAKAZI WA WIZARA YA HABARI WAPEWA SEMINA ELEKEZI!!
Posted by
ADMIN
You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)





0 comments:
Post a Comment