VODACOM FOUNDATION YAKABIDHI VYANDARUA HOSPITALI YA IRAMBA SINGIDA!!

Meneja wa Vodacom Foundation Yessaya Mwakifulefule (kushoto) akimkabidhi moja ya kati ya Vyandarua 1,300 Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya ya Iramba iliyopo Kiomboi DK.Anthony Mburu (katikati)Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Peter Mwagiro akishuhudia upokeaji huo wa Msaada ambao watagawiwa wagonjwa wote waliopo eneo hilo.
Meneja wa Vodacom Foundation Yessaya Mwakifulefule akimkabidhi moja kati ya 1,300 Esta Aron akiwa na mwanae mwenye umri wa miezi 6 Peter William ambaye ni mmoja wa Wagonjwa waliolazwa katika Wodi ya akina mama katika hospitali ya Wilaya ya Iramba ilioko Kiomboi Singida mfuko huo ulitoa msaada wa jumla ya Vyandarua 1,300 katika mkoa huo.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment