TIMU YA TAIFA YA ZANZIBAR YAPATA KOCHA KUTOKA UINGEREZA!!

Kocha Mkuu wa timu ya soka ya Zanzibar, Stewart Hall, kutoka Uingereza akisaini mkataba wa miaka mitano wa kuifundisha timu hiyo katika hafla iliyofanyika kisiwani. kushoto kwake ni Rais wa Shirikisho la Soka la Zanaibar (ZFA) Ali Ferej Tamim

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment