JESHI LA WANANCHI LASIKITISWA NA KUONDOKEWA NA MARUBANI WAKE!!

Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Luteni Jenerali Abdulrahman Shimbo akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kwenye Banda lao katika Maonesho ya

Biashara ya Kimataifa jijini Dar leo. Aliongelea pia juu ya ajali ya ndege yao iliyotokea jana, eneo la Kabuku, Kijiji cha Manga mpakani mwa mikoa ya Pwani na Tanga.Marubani waiwili wa ndege hiyo walifariki.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment