MB DOGG NA ZIARA YAKE UINGEREZA!!


Mb dog amesafiri kwenda katika uk tour.mb Dogg iliyoanza tar. 25/6 asubuhi kuelekea Uingereza kwa ajili ya maonyesho ambayo yatachukua takriban wiki tatu, akiwa huko atafanya maonyesho katika miji tofauti
Ukiwepo milton keynes,bss onx bristol,pia birmingham.pia hakuwaacha bure wabongo amewaachia traki yake ambayo iko katika albam yake ya pili ya akili yangu traki inaitwa "Kilio changu".kwasasa.
Mb. Dogg yuko katika hatua za mwisho kumalizia albam yake ya tatu na si muda mrefu atatambulisha singo yake mpya ambayo amemaliza kurekodi usiku wa kuamkia tar 25.Mb Dogg anaashukuru mashabiki wake wote wanaomsapoti katiki game

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment