Kazaula akabidhi mashine ya kuchuja maji hospitali ya Kagera!!

Peter Kazaula akikabidhi mashine ya kuchuja maji aliyoitoa kwa hospitali kuu ya mkoa wa Kagera yenye thamani ya zaidi milioni 8 yenye uwezio wa kuchuja lita 6,500 kwa siku ambayo haitumii aina yoyote ya nishati.
Katika piha hiyo kulia kwa Kazaula ni kaimu mganga mfawidhi wa hospitali ya mkoa Dr Amri Byalugaba na kushoto kwake ni mwenyekiti wa bodi ya hospitali ya mkoa Johansen Rutabingwa.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment