BAKWATA YATOA TAMKO KUHUSU MAHAKAMA YA KADHI

Sheikh Mkuu wa Tanzania, Issa shaaban Simba (katikati) leo ametoa tamko kuhusu Mahakama ya Kadhi nchini Tanzania, akiwataka waislamu wote nchini kufanya subira wakati majadiliano kati ya wanasheria wa Kiislamu na waserikali wakiendelea na majadiliano juu ya suala hilo.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment