WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA KATIKA UKAGUZI WA MIRADI MBALIMBALI MKOANI SINGIDA!!

WAkazi wa Singida wakiwa wamebeba bango lililochorwa Picha ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na ramani ya mkoa wa Singida ikiwa ni zawadi aliyokabidhiwa Mheshimiwa Pinda katika Mkutano wa hadhara aliouhutubia katika kijiji cha Msungua wilayani Singida Aprili 28, 2010, (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kipata Maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Shamba la Kilimo cha Umwagiliaji kwa njia yam atone la Mokiwa wilayani Singida Bw. Ali Mohamed (kushoto) kususu kitalu cha miche ya nyanya wakati alipotembelea shamba hilo akiwa katika ziara ya mkoa wa Singida

Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akimwagilia mche wa mti wa kivuli alioupanda mbele ya bweni la wasichana katika shule ya sekjondari ya Issuna wialayani Singida ambaloz lilifunguliwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa katika ziara ya mkoa huo,

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mkewe Tunu (watatu kulia) wakikagua mradi wa kilimo cha umwagiliaji kwa njia yam atone wa Mkiwa wilayni Singida akiwa katika ziara ya mkoa huo, Aprili 28, 2010. Kulis ni Mkuu wa mkoa huo, Vincent Ole Kone.

Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akizungumza na Sister Maria Tesha wa Kituo cha Masister wa Kanisa Katoliki cha Ursula cha Mkiwa wilayani Singidaambako ameambatana na Waziri Mkuu Mizengo Pinda anayeendelea na Ziara ya Mkoa huo

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment