WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AZINDUA BARABARA YA SINGIDA MANYONI!!

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizindua jengo la ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni akiwa katika ziara ya mkoa wa Singida Aprili 27, 2010. Wapili kulia ni Mkewe Tunu na kulia ni Mbunge wa Manyoni Mashariki na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Capt. Mstaafu John Chiligati. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikata utepe kuashiria uzinduzi wa barabara ya Singida – Manyoni iliyojengwa kwa kiwango cha lami akiwa katika ziara ya wilaya ya Manyoni, Aprili 27, 2010. Wengine pichani kutoka kushoto ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Mbunge wa Manyoni Mashariki, Capt. Mstaafu, John Chiligati, Mkuu wa Wilaya ya Bahi na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Betty Mkwasa , Mkuu wa Mkoa wa Simgida, Vincent Ole Kone, Katibu Mkuu wa Wizara ya Miundombini, Omar Chambo, Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda, Waziri wa Miundombinu, Dk. Shukuru Kwambwa Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu na Mbunge wa Singid a Kusini, Mohamed Missanga na Naibu Waziri wa Miundombinu na Mbunge wa Chilonwa, Hezekia Chibulunje

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizindua barabara ya Singida – Manyoni iliyojengwa kwa kiwango cha lami akiwa katika ziara ya wilaya ya Manyoni, Aprili 27, 2010. Wengine pichani kutoka kushoto ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Mbunge wa Manyoni Mashariki, Capt. Mstaafu, John Chiligati, Katibu Mkuu wa Wizara ya Miundombini, Omar Chambo ,Mkuu wa Mkoa wa Simgida, Vincent Ole Kone, Naibu Waziri wa Miundombinu na Mbunge wa Chilonwa, Hezekia Chibulubje, Waziri wa Miundombinu, Dk . Shukuru Kawambwa, Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda, Mbunge wa Viti Maalum na Mwenyekiti wa UWT wa Mkoa wa Singida, Dianna Chilolo na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu na Mbunge wa Singida Kusini, Mohamed Missanga.


Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda (wanne kushoto) akizungumza na wanwake wa kabila la Wataturu ambao walimzawadia vazi lao la asili na kibuyukatika mkutano wa hadhara uliofanyika Itigi wilayani Manyoni Aprili 27, 2010.

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa na wanawake wa kabila la Wataturu baaada ya kuvalishwa na wazee wa kabila hilo vazi la asili na kupewa mkuki katika mkutano wa hadhara uliofanyiaka Itigi wilayani Manyoni Aprili 27, 2010.. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment