MPANGO WA TAIFA WA UZAZI WA MPANGO WAZINDULIWA JIJINI!!

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Prof. David Mwakyusa akimsikiliza Angelina Mchome mratibu wa afya ya uzazi wa mpango shirika la PSI wakati alipokuwa akimpa maelezo juu ya viwango vya matumizi ya Kondom aina ya Familia wakati wa uzinduzi wa mpango wa Taifa wa Uzazi wa mpango uliofanyika katika hospitali ya Muhimbili jijini Dar es asalaam leo.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment