Majambazi sita na vifaa vyao vya kazi yanaswa na polisi jijini Dar!!

Kamanda wa Kanda maalumu ya Dar es Salaam Afande Suleiman Kova (kushoto) akionyesha zana mbalimbali zilizokamatwa kutoka kwa majambazi 6 waliokamatwa na polisi wakati wakijiandaa kwenda kufanya uhalifu katika maeneo ya Tegeta, Dar. Vitu walivyokamatwa navyo ni pamoja na mitungi ya gesi, funguo 73, mitarimbo na plasta moja kubwa.


Kamanda wa Kanda maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova (kushoto) akionyesha gari yenye namba za usajili STK 1739 mali ya Wizara ya maliasili na Utalii ambalo liliibiwa na majambazi katika eneo la Mabibo, Dar es Salaam na kukutwa Mbagala.




You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment