Kilimanjaro Music Award hufanyika kila mwaka na kutoa tuzo kwa wanamuziki mbalimbali wa muziki wa kizazi kipya, muziki wa kale, muziki wa Taarab na muziki wa Injili pia, tuzo hii imekuwa ikiwasaidia wanamuziki mbalimbali kujiangalia upya mara zinapokuwa zimefanyika tuzo hizi lili kutathimini kazi zao na kuziboresha zaidi ikiwa ni pamoja na kujianda kwa tuzo zitakazofuatia kama watafanikiwa kuingia kwenye kinayang'anyiri hicho.
KILIMANJARO MUSIC AWARD YAWAFUNDA WANAMUZIKI LEO!!
Posted by
ADMIN
Kilimanjaro Music Award hufanyika kila mwaka na kutoa tuzo kwa wanamuziki mbalimbali wa muziki wa kizazi kipya, muziki wa kale, muziki wa Taarab na muziki wa Injili pia, tuzo hii imekuwa ikiwasaidia wanamuziki mbalimbali kujiangalia upya mara zinapokuwa zimefanyika tuzo hizi lili kutathimini kazi zao na kuziboresha zaidi ikiwa ni pamoja na kujianda kwa tuzo zitakazofuatia kama watafanikiwa kuingia kwenye kinayang'anyiri hicho.
You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)





0 comments:
Post a Comment