HARUSI TRADE FAIR KUFANYIKA DIAMOND APRILI 9-10!!

Mratibu wa Mradi wa Harusi Trade Fair Sati Gadhvi akizungumza leo jijini Dar es salaam kuelezea maonyesho ya bidhaa za Harusi yanayotarajiwa kufanyika Aprili 9-10/ 2010 kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam ambapo washiriki zaidi ya 40 wanaojishughulisha na mambo ya kuandaa harusi wanatarajiwa kushiriki, amesema kiingilio katika maonyesho hayo kitakuwa shilingi 2000 kwa mtu mmoja aliyeko kulia katika picha ni meneja masoko na Mauzo wa Harusi Trade Fair Khamis Omar.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment