Rais Kikwete afungua Mkutano Mkuu wa PCCB Mwanza!!

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia Rushwa TAKUKURU Dr. Edward Hosea akimkaribisha Rais Jakaya Mrisho Kikwete kufungua mkutano mkuu wa Mwaka wa taasisi hiyo unaofanyika mjini Mwanza leo asubuhi.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwahutubia viongozi waandamizi wa TAKUKURU wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Mwaka wa taasisi hiyo mjini Mwanza leo asubuhi.

Baadhi ya maafisa waandamizi wa Taasisi ya Kuzuia Rushwa TAKUKURU wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Taasisi hiyo mjini Mwanza leo asubuhi katika ukumbi wa Benki Kuu(picha na Freddy Maro).

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment