JARIDA LA KITAALUMA LAZINDULIWA JIJINI DAR!!

Mkuu wa Shule Kuu ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam (SJMC) Dkt Bernadeta Killian ( kulia) akizundua jana jijini Dar es salaam jarida la kitaalum la Scribes liloandaliwa na Baraza la Habari Tanzania(MCT) . Katikati ni Rais wa MCT Jaji Robert Kisanga na kushoto ni Katibu Mtendaji wa MCT Kajubi Mukajanga.
Mkuu wa Shule Kuu ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam (SJMC) Dkt Bernadeta Killian ( kulia) akionyesha machapisho ya majarida mbalimbali baada ya kuyazindua jana jijini Dar es salaam yanayohusu tasnia ya uandishi wa habari ambayo yameandaliwa na Baraza la Habari Tanzania(MCT) . Katikati ni Rais wa MCT Jaji Robert Kisanga na kushoto ni Katibu Mtendaji wa MCT Kajubi Mukajanga.
Picha zote na Tiganya Vincent -MAELEZO


You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment