Hitma ya Mzee Kawawa yafanyika leo nyumbani kwake madale!!

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisamiliana jana jijini Dar es salaam na Waziri wa Ardhi , Nyumba na Maendeleo ya Makazi Captain John Chiligati na Kingunge Ngombale Mwiru. Rais Kikwete aliktana na viongozi hao katika hitma ya Mzee Rashid Kawawa nyumbani kwake Madale jijini Dar es salaam.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete (akatikati) akiwa kwenye hitma ya Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa jana jijini Dar es salaam , wengine ni Mtoto wa Marehemu Vita Kawawa(kulia) na kushoto ni Sheikh wa Mkoa wa Dar es salaam Mussa Salum.

Baadhi ya viongozi mbalimbali waliohudhuria hitma ya Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa iliyofanyika jana jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Rais Kikwete.

Baadhi ya wakina mama wakiwa katika hitma ya hitma ya Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa iliyofanyika jana jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Rais Kikwete.Picha zote Tiganya Vincent-MAELEZO




You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment