TBL YAKARABATI SHULE YA VIZIWI!

Mhandisi Ujenzi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), John Malisa (kulia) akimwelekeza fundi Umeme, Imma Maembe jinsi ya kuweka taa katika moja ya vyumba vya madarasa vya Shule ya Viziwi ya Buguruni, Dar es Salaam jana, inayokarabatiwa kwa msaada wa TBL
Fundi rangi, Bakari Yusufu akimalizia jana kupaka rangi jengo la vyumba vya madarasa katika Shule ya Viziwi Buguruni, Dar es Salaam, linalokarabatiwa kwa msaada wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL). Kushoto ni Mhandisi Ujenzi wa TBL, John Malisa.


You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment