Siku ya ukoma duniani kuadhimishwa moani Morogoro!

Naibu Waziri wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Mh. Dr. AishaKigoda akizungumza na waandishi wa habari wakati akitoa tamko la sikuya ukoma duniani.Kilele cha siku ya ukoma itaadhimishwa wilayani Kilombero mkoani Morogoro, tarehe 31 januari,2010.(Picha na CatherineSungura-MOHSW
Waandishi wa habari za Bunge wakimsikiliza Naibu Waziri wa Afyana Ustawi wa Jamii, Mh.Dr. Aisha Kigoda wakati akitoa tamko la siku yaukoma duniani,mjini dodoma.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment