SERENGETI YAMWAGA ZAWADI KIBAO MECHI YA TAIFA STARS NA IVORY COAST!!

Meneja uhuasiano wa kampuni ya Bia ya Serengeti SBL Teddy Mapunda akizungumza na wanahabari katika mkutano uliofanyika kiwandani hapo kuhusu promosheni ya shangilia Taifa Stars inayoanza kesho wakati timu hiyo itakapocheza michezo miwili ya kirafiki na timu ya Taifa ya Ivory Cast Januari 4 na 7 jijini Dar es salaam Ivory Coast inajiandaa na mashindano ya kombe la mataifa huru ya Afrika yanayotarajiwa kuanza mwezi ujao nchini Angola.
Promosheni hiyo itawafanya mashabiki mbalimbali wa soka katika baa mbalimbali kujishindia zawadi mbalimbali kama vile Bia za Serengeti, Kofia, Fulana na jezi za timu ya Taifa pamoja na tiketi za kuingilia katika michezo hiyo, wanaofuatia katika picha ni meneja mkuu wa kampuni hiyo Mr Kagusa, Bahati Singh meneja matukio na promosheni na mchezaji wa Taifa Stars Mrisho Ngasa.
Bahati Singh Meneja Matukio na Promosheni wa SBL akifafanua jambo katika mkutano huo.


Meneja uhusiano wa kampuni ya bia ya Serengeti Teddy Mapunda akiwa katika piocha ya pamoja na wachezaji wa timu ya Taifa walioshika jezi zenye majina yao na kulia mwisho na afisa habari wa shirikisho la mpira nchini TFF Frolian Kaijage

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment