hii itakuwa ni mara ya pili kwa kikundi hicho cha Sarakasi Mama Afrika kufanya shoo mkoani humo baada ya mafanikio makubwa ya kundi hilo wakati lilipofanya onyesha kama hilo mkoani humo mwaka jana.
Tiketi zitauzwa kwa shilingi 8.000 kwa viti vya kawaida na elfu 12.000 kwa viti maalum yaani VIP.





0 comments:
Post a Comment