ILIKUWA SAME NA SASA KILOSA, HEBU TUJIHADHARI JAMANI!!

Mwezi wa nane TMA walitabiri kuwa kutakuwa na mvua za El nino zingenyesha mwezi unaofuatia oktoba lakini hazikunyesha, nadhani pengine ndo hizi, nasema pengine kwa sababu utabiri ule ulikuwa wa mwezi September na watu wengi walishaanza kupuuzia kwama huenda mvua hizo zisingenyesha tena sasa tusijekujisahau huende mvua zilizotabiriwa ndiyo hizi zilizoanza kuleta madhara maeneo mbalimbali nchini mwetu kama kule Same na Morogoro Kilosa sasa.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment