VIJANA WA TBC1 WAKIKAZA BUTI KAZINI!!

Watangaji wa mpira wa miguu wanaochipukia kwa sasa hapa nchini ENOCK BWIGANE(kulia aliyevaa uzi wa TAIFA STARS)na AHMED SALUM(kushoto)wote wa shirika la utangazaji Tanzania-TBC wakiwajibika katika kutangaza mpira uwanja mpya wa kisasa wa TAIFA jijini DSM.kweli TBC ni shule inayoibua vipaji vipya na vya ukweli katika utangazaji wa mpira nchini.BIG UP TBC na mkurugenzi TIDO MHANDO.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment