(Tetesi za Mwanabidii) askari wa usalama watoa sticker maalum baada ya ukaguzi wa gari lenye fire extinguisher!!

Nimesikia tetesi kwamba police wa usalama barabarani wanatoa sticker za kuthibitisha kwamba gari yako imekaguliwa na unacho kizimia moto (fire extinguisher)kwa gharama ya 20,000 kila gari, lakini hiyo bei ni tofauti na manunuzi ya kifaa chenyewe. sasa swali linakuja ....Huu sio ufisadi ? maana siku chache tu kulikuwa na wiki ya usalama barabarani ambapo magari yetu yanakaguliwa na kuhakikisha kila kitu kinafanya kazi na kisha tunapewa inspection report ambayo inajumuisha na hiyo fire extinguisher sasa iweje tena kuwepo na kitu kama hicho ?

Mwenye habari kamili tunaomba utufahamishe tupate uelewa
Joseph Lyimo.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment